KWA UFUPI: KUNA UWEZEKANO BEYONCE AKAPIGA COLLABORATION NA RIHANNA

INFO ambazo zimetufikia BLACK TOUCHEZ ju,apili ya leo, ni kwamba kuna uwezekano Mkubwa Mkali wa R&B , Beyonce, akapiga Track moja na Mkali wa Pop, RIHANNA.

Ingawa taarifa hazijatoka kamili, ila inasemekana kuwa, Beyonce yuko katika Mchakato wa kuhakikisha anakamilisha mazungumzo na Rihanna kuhusu mchakato mzima wa Kupiga “KOLABO” .

Aidha awali, kumekuwa na Tetesi kuwa, Beyonce hapatani na 

Rihanna kutokana na kuhisi kuwa, ameshakunjuka Kiutamu kunako uwanja wa Sita kwa Sita, na Mumewe JAY Z, ambaye hivi sasa wana mtoto mmoja, BLUE INVY

Related Posts :