CHUKUA HII: RICH MAVOKO BADO ANATAFUTA


DAR ES SALAAM, Tanzania
INCASE Unajiuliza maswali mengi kuhusu ka-ukimya kaduchu kalikopo toka Kwake, maze wala msijali.

Rich Mavoko, Hitmaker wa MARRY ME na FOLLOW ME, bado anasaka Mkwaju Mkali ambao utakuja kulaza na Kuzima Mizigo mingine ambayo iko market Hivi sasa.


Jana , kupitia IG account Yake, alituonjesha Kipande kidogo cha Ngoma , huku akidai kuwa Iko Library, nab ado anasaka mkwaju mpya wa Kuachia

Related Posts :