BLACK TOUCHEZ KIDUME: HATIMAYE UBISHI UMEISHA..HUYU NDIYE MBABE


SIKU kadhaa zilizopita, BLACK TOUCHEZ ilitaka Kuondoa ubishi kuhusu jamaa wawili ambao mpaka Hivi sasa wanasumbua sana kunako Music Industry Ulimwenguni.

Sasa Baada ya kuwaweka katika Ulingo mmoja, kunako Account ya Hulkshare ya BLACK TOUCHEZ, Finally Ubishi Umeisha  Ndani ya Wiki ya Kwanza kumalizika ndani ya Mwezi huu Juni.


Kwa Maana hiyo, BLACK TOUCHEZ inamtangaza Rasmi J FLANI na Ngoma yake ya FREEDOM kuwa Mbabe Katika BLACK TOUCHEZ- KIDUME

Related Posts :