UTHIBITISHO KUHUSU ISHU YA KUVUNJIKA KWA KUNDI LA P-SQUARE NA KUKOSANA NA KAKA YAO..HUU HAPA



Kwa kumbukumbu tuliyonayo ni kwamba tulikutonya kuwa Kundi La P-SQUARE Limeingia Dosari baada ya Kukosana, huku chanzo kikiaminika ni kutokuwepo kwa Maelewano mazuri baina ya Kaka yao Mkubwa JUDEE OKOYE pamoja na Mke Wa PETER OKOYE

Lakini baada ya Wengi kushtushwa na TWEET ya JUDEE kuwa Baada ya Kufanya Kazi na Ndugu zake hao Mapacha kwa almost Miaka 10, sasa ameamua kujitoa, Finally siku ya Leo TTM imekutana na Uthibitisho kuwa Kundi hilo na Familia Kiujumla, Vitadumu Milele..

Check Tweets zao




Related Posts :