KUFURU: WAGENI WAALIKWA KATIKA NDOA YA BINTI WA RAIS GOODLUCK JONATHAN WA NIGERIA, WAPEWA ZAWADI YA I PHONE 5 YA DHAHABU



 JIJINI ABUJA, Nigeria, Habari kubwa ilikuwa Ni Ndoa ya Mtoto wa rais wa Nchi Hiyo, GOODLUCK JONATHAN, anayefahamika kwa jina la FAITH JONATHAN aliyeolewa na GODSWILL.

Wageni waliohudhuria hapo, walipata Zawadi zaI PHONE 5 zeny muonekano wa Dhahabu, na ikiwa imeandikwa majina Yao.
Lakini amini usiamini, Moja kati ya wageni waliofaidika na zawadi hizo, ni pamoja na rais Mstaafu wa Nchi hiyo, OLUSEGUN OBASANJO.
Check Picha hizi














Related Posts :