KAHAMA KUMEIVA TAYARI: CHECK PICHA


Kinyang'anyiro cha kumtafuta mlimbwende wa halmashauri ya Msalala wilayani Kahama kimemalizika , huku taji hilo kuchukuliwa na Mshiriki Namba 08 Sophia Julius huku nafasi ya pili akienda kwa mshiriki namba 10 Nyange Warioba.

Katika  mashindando hayo mshiriki namba 02 Anna Charles ameshika nafasi ya tatu, Mshiriki namba 07 Pendo Maximillian ameshika nafasi ya nne na mshiriki namba 03 Magreth Victor ameshika nafasi ya tano































Related Posts :