UNAMKUMBUKA JOE?..ANASHUKA UGANDA


LONG TIME Sana hatujamsikia kunako Music Industr ulimwenguni, licha ya kufanya Vema kupitia Trax kama Vile ALL THE THINGS na STUTTER.

Lakini kama wewe ni Mkazi wa Uganda na Afrika mashariki kiujumla, Good News ni Kwamba, JOE anatarajiwa kushuka Nchini UGANDA kwa ajili ya Shughuli zake za kimuziki.


Stay Connected na Black touchez kupata mzuka Zaidi na kila kitakachoendelea

Related Posts :