SHACK: HII NI ZAWADI KWA WAKAZI WA MWANZA


MSANII Chipukizi kutoka Jiji la Miamba MWANZA, SHACK DIZZONGA “SHACK” ameamua kutoa zawadi kwa mashabiki wake baada ya kumpokea vema Kupitia Track yake ya Kwanza inayofahamika Kwa jina la Tears.

Kupitia RCMS (Rock City Music Supporter,), Shack ametutonya kuwa hiyo itakuwa ni track nyingine tofauti ambazo tayari ziko tayari

Pata nafasi ya kuisikiliza Track yake Mpya ambayo amemshirikisha VM, inakwenda kwa Jina la ROCK CITY

Related Posts :