NICK MINAJI IS TOTALLY BACK…..KWENYE GAME


BAADA ya Kumsikia Kwenye KOLABLE Mbali mbali ikiwemo Tape Out Ya Rich Gang na Nyinginezo Kibao, Finally ONIKA TANYA MARAJ kwenye Stage “NICKI MINAJ”, amethibitisha Ujio Wake Mpya Kwa Mwaka 2014

Nicki Ambaye amejipanga balaa, na anarudi Tena Kuchafua Till You Get Down akiwa na Albam Mpya itakayoitwa THE PINK PRINT

Tofauti na Hilo, TTM tumebaini Kuwa, kuna Uwezekano Mkubwa wa Female Rapper Huyu Kuachia ALBAM na MIXTAPE  kwa wakati Mmoja ili Kupata Nice Fleva.

Ili Kuthibitisha makali hayo, NICKI hivi sasa ameachia Video Mpya Siku ya jana, ambayo inafahamika kwa Jina la LOOKING BACK NECCAH, ambapo TTM imetulazimu tuliweke Sawa Jina hilo Ambalo linautata Kidogo hasa Kwa Maadili ya Kitanzania na taaluma Yetu Kiujumla.

ALBAM ya THE PINK PRINT kutoka Kwa Nicki ni Moja kati ya Albam ambazo zinaweza Kutoka sambamba na Albam ya YMCMB FAMILY “RISE OF AN EMPIRE”

Related Posts :