BT NEW HIT: MADEE FEAT. P.UNIT- POMBE YANGU REMIX


LIcha ya Kukandiwa Sana Kuhusu VIDEO ya POMBE YANGU ambayo Ilifanywa na OGOPA VIDEOZ Nchini Kenya, Kuwa Mbovu na Haina Mvuto, Madee alisema Yeye hatokoma kufanya kazi Nchini Humo, na alisema Atawaziba Vidomo domo wale Wote wasiopenda Mafanikio yake.

Baada ya Wengi Kusubiri Nini Kitafuata, Huu Ndio Mkwaju ambao Binafsi TTM tumelipitisha Asilimia 1000

Related Posts :