BBA THE CHASE : SULU AMTOLEA UVIVU CLEO


SULU (zambia) amemtolea Uvivu MzambiaMwenzake, mwanadada CLEO, baada ya kuona kama amejiachia sana.

Washiriki hao wawili wanaoiwakilisha Nchi hiyo, wameonekana Mchana huu katika Bustani ya BB, wakiongea kwa Ukimya zaidi.

Katika mazungumza hayo, Sulu amemkanya Cleo kuepukana na WEMA anaoufanya kwa washiriki mbali mbali, jambo ambalo amehisi linaweza kumfanya aonekane ni mtu wa aina hiyo, na kukaribisha Mengi katika Mchakato wao wa Kutaka kupeleka Heshima ya Ushindi Nchini Kwao




Related Posts :