PICHA: RAY AKIPIGA MAZOEZI...

 Hatua inayofuata ni Ipi Mwalim?......................................

 Anhaaa...kwa hiyo niende juu...chini...juu...chini...juu...chini...okay, nimekusoma

 Duh...siwezi kuvunja Mikono kweli Mwalimu?...maana....

 Twende Kazi...One.... Two

Dah..Siyo Mchezo ...haikuwa Kazi Rahisi Mzeee....Kumbe Hata akina DIAMOND na ALI KIBA waliumia kiasi hiki?

KUMBUKA
Maelezo hayo ya Picha ni Ya Kubuni tu...Hayana ukweli wowote kuhusiana na Ray

Related Posts :