KENYA: NONINI AVUNJA RECORD KWA KUPATA MKWANJA MWINGI ZAIDI



KWA UFUPI
GOD FATHER WA GENGE wa kuitwa Nonini hatimaye amevunja Record ya kuwa Msanii anayelipwa fedha Nyingi zaidi Nchini Kenya

Taarifa hizo za kuvunja Rekodi hiyo zimetolewa Mapema Mwaka katika Ripoti ya MCSK (Music Copyright Society of Kenya) Nchini Kenya

 Wasanii wengine ambao wametambuliwa kupata Fedha Nyingi pia na MCSK ni Pamoja na Msanii JAGUAR, WYRE "The Love Child" na Marehemu ANGELA CHIBALONZA ambao walichukua nafasi za Pili Tau na Nne

Related Posts :