NIPE FAGIO PROJECT: Washiriki wa Miss Utalii Taifa Waungana na Meya Kufanya Usafi Jijini DSM

 TUKO BIZE: Walimbwende hao wakiwa katika zoezi la kuokota taka, huku wakiwa wameambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa (Mwenye Suruali ya Khaki)

 TUNAPENDEZA : Washiriki hao wakiendelea na zoezi lao

 DUH SIO KAZI RAHISI..NGOJA TUWEKE POZI KWANZA : Washiriki hao wakiwa katika Picha ya pamoja na Meya wa Ilala, Jerry Slaa

YEEEEEEES : Washiriki hao wakiwa wamenyoosha mikono kuashiria wanashangilia jambo

Related Posts :