DODOMA ARE YOU READY?...MASTAA WA EBSS 2012 ATAANZIA KWENU


MAISHA CLUB Mjini Dodoma kutakuwa hapatoshi baada ya Mastaa wa Epic Bongo Star Search 2012 kuanzia Mkoani hapo siku ya Ijumaa, ikiwa ni moja kati ya ziara zao za Mikoani kwa Mwaka huu, ikifuatiwa na jiji la maraha, yaani DSM.

TIMU ITAKAYOSHUKA:
Raia watakaoshuka ni Menina Atik, Nsami Nkwambi, Mshindi mwenyewe Walter Chilambo, Wababa Mtuka, Geofrey Levis, Norman Severino, pamoja na Husna Nassoro

WATAKAOSINDIKIZA...
Barnaba Boy, Ali Nipishe, Linah, na Ben Paul himself.

SUPRISE kali itakayokuwepo siku hiyo, ni Mshindi wa ile "Mijihela", namzungumzia Walter Chilambo atakapozindua Mkwaju wake Mpya.

Related Posts :