BAADA YA KIFO CHA MAMA YAKE MZAZI: MTOTO WA MAREHEMU WHITNEY HUSTON HADHARANI AKIVUTA BANGI, JE ATAFUATA TABIA YA MAMA YAKE?

Pichani na Boby Christina, Mtoto wa Marehemu Whitney Huston ambaye aliathirika na Madawa ya kulevya. Binti huyu ameonekana aki-PUFF & PASS kitu aina ya Bangi na Mpenzi wake Nick hadharani. Swali ni Je, atafuata nyayo za mama yake?...hebu tazama hizi picha kwa umakini...












 (c) BLACK TOUCHEZ-MAT. TMZ 2013

Related Posts :