TUMESEMA HIVI ...TUTAIHAMISHA DAR LIVE TOKA MBAGALA, KUJA BONGO MUVI

 Rais wa Shirikisho la Filamu Nchin, TAFF, SIMON MWAKIFAMBA akizungumza na Waandishi wa habari (Hawapo katika Picha), kuhusu tamasha lao litakalofanyika DAR LIVE Jumamosi hii

 Msanii wa Filamu Nchini, Kulwa "Dude" akichangia Jambo


Baadhi ya Wasanii wa Bongo Movie waliohudhuria katika kikao chao na Wanahabari (hawapo Pichani)
katika viwanja vya Leadres Club, jijin DSM

PICHA ZOTE KWA HISAN YA MUSA MATEJA

Related Posts :