KAULI YA KACCI "THE TOWN SON" a.k.a KACCILLIONAIRE a.k.a KACCIRHYMESLICIOUS



Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu nategemea kufanya sherehe yangu ya kuzaliwa.Ambayo itakuwa ni tarehe 23 mwezi Desemba mwaka huu.

Party itafanyika pale Camel Pub Kihonda Morogoro kuanzia saa kumi jioni.Kutakuwa na shows mbali mbali kutoka kwa wasanii wa Racers pamoja na mwenyewe Birthday Boy.Kadi tumeanza kutoa tangu jana jioni so kwa yoyote ambae anataka kujumuika nasi basi tuwasiliane na kila kitu kitakuwa vizuri Mungu akijalia.

KARIBUNI SANA!

Related Posts :

1 Response to "KAULI YA KACCI "THE TOWN SON" a.k.a KACCILLIONAIRE a.k.a KACCIRHYMESLICIOUS"