DAR EXPRESS NUSURA IPATE AJALI CHALINZE




Na Nah Aboud Jr, Morogoro


Basi la Dar Express lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda mkoani Arusha limenusurika kuanguka baada ya kuacha njia na kugonga ukingo wa barabara ya Chalinze, Segera kama linavyoonekana katika picha


SOURCE : Wavuti.com

Related Posts :