JK KULIHUTUBIA TAIFA LEO




                 Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete

Na Frank Joachim
Dar es Salaam, Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alasiri ya leo, Jumatano, Agosti Mosi, 2012, atazungumza na Taifa kupitia Mkutano wa Waandishi wa Habari utakaofanyika Ikulu, Jijini Dar es Salaam.

Mkutano huo utakaoanza saa 10 kamili utahudhuriwa na Wakurugenzi Wakuu, Wakurugenzi Watendaji, Wahariri Wakuu na Wahariri Watendaji na utatangazwa moja kwa moja na televisheni nchini.

Related Posts :